Leo nimepulizia Air Fresh yenye harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia mlangoni kwangu ndio wanacheza hapo. Kila nikitoka wananisalimia. Mama yao ndio kanimaliza kabisa nimetoka akaniambia.. “mmh kumbe wewe ni Mpishi mzuri” 😂
Kama uko na Vichekesho vikali Login utusambazie!
MUGABE NAE KWA MAJIBU ANATISHA
SWALI: Kwanini wanasiasa wala rushwa hawaendi jela?
MUGABE: Hii ni sawa na mbu anayeng’ata kwenye pumbu hawezi kupigwa kofi zito.